Tag: Tanzania
Tanzania yaijibu Umoja wa Ulaya suala la bomba la mafuta kutoka Uganda
Serikali imesema hakutakuwa na athari zozote za kimazingira wakati wa utekelezaji wa Mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha Mafuta ghafi la ...Makampuni 19 ya Kimarekani kuangalia fursa za uwekezaji Tanzania
Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam na Idara ya Huduma za Biashara ya Marekani umetangaza washiriki wa ziara ya siku mbili ...Rais Samia asema Tanzania imepiga hatua usawa wa kijinsia
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imejitahidi kupiga hatua katika usawa wa kijinsia kwa kutoa fursa mbalimbali kwa wanawake hasa katika nafasi ...Tanzania na Uganda kuandaa AFCON 2027
Tanzania inakwenda kushirikiana na nchi ya Uganda kuomba kuandaa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ya mwaka 2027. Akizungumza na ...Serikali yasema hakuna Homa ya Nyani nchini
Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Aifello Sichalwe amewatoa hofu Watanzania juu ya taarifa za uwepo wa Ugonjwa wa Homa ya Nyani katika ...Maeneo 7 ya ushirikiano yaliyoridhiwa kati ya Tanzania na Zambia
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema aliyewasili nchini leo kwa ajili ya ziara ya kikazi inayolenga ...