Tag: Tanzania
Rais Samia: Nitahakikisha Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ataendelea kuwawezesha Watanzania kutumia nishati safi ya kupikia ili ifikapo mwaka 2030 zaidi ya asilimia 88 wawe ...APHFTHA yakubali kutoa huduma kwa wanachama wa NHIF
Uongozi wa Bodi ya Wamiliki wa Vituo vya Afya vya Binafsi (APHFTHA) na Jumuiya ya Wamiliki Hospitali Binafsi Zanzibar (ZAPHOA) umesema kufuatia ...Msimamo wa Serikali kuhusu utekelezaji wa kitita kipya cha NHIF
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa rai kwa hospitali zote zilizositisha kutoa huduma kwa wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima Afya ...ATCL yafafanua hitilafu iliyotokea kwenye injini ndege ikiwa angani
Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imesema hitilafu iliyotokea katika ndege yake aina ya Airbus A220-300 iliyokuwa ikitoka Dar es Salaam kwenda ...APHFTA wagoma kutoa huduma kwa kitita kipya cha NHIF
Baada ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kutangaza kuanza matumizi ya kitita kipya cha mafao kitakachoanza Machi Mosi, 2024, ...Muhimbili kuzindua benki ya kuhifadhi mbegu za uzazi
Wizara ya Afya imesema Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imeanza huduma ya kuhifadhi mbegu za uzazi ambapo hivi karibuni Rais Samia Suluhu ...