Tag: Tuhuma
Polisi wamsaka mwanamke kwa tuhuma za kumuua mchepuko wa mume wake
Polisi mjini Kisumu nchini Kenya wanamsaka mwanamke anayedaiwa kumchoma kisu na kumuua mwanamke mwingine aliyeshukiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mume ...Watano wafikishwa mahakamani kwa tuhuma za usafirishaji wa bangi
Watu watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma leo na kusomewa mashtaka ya uhujumu uchumi kutokana na tuhuma za kusafirisha dawa ...Watatu washikiliwa kwa tuhuma za kupanga mapinduzi Benin
Watatu mashuhuri akiwemo Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Rais wa Benin wamekamatwa kwa tuhuma za kupanga jaribio la mapinduzi nchini humo. ...Ajifungua mahakamani baada ya kuachiwa kwa tuhuma za mauaji
Virginia Maingi amejifungua katika mahakama ya Kithimani, Kaunti ya Machakos nchini Kenya baada ya mahakama hiyo kumwachia huru kwa tuhuma za mauaji. ...Mtoto ashikiliwa kwa tuhuma za kumlawiti mwenzake Njombe
Kamanda wa Polisi mkoani Njombe, Mahamoud Banga amesema Jeshi la Polisi mkoani humo linamshikilia mtoto wa miaka 12 kwa tuhuma za kumlawiti ...Watu 8 wakamatwa kwa tuhuma za kumuua Mgambo Kilimanjaro
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu nane kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Farijara Hamis Mboya, maarufu kwa jina la ...