Tag: Uganda
Uganda yathibitisha uwepo wa ugonjwa wa Ebola jijini Kampala
Wizara ya Afya nchini Uganda imethibitisha kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola katika Mji mkuu Kampala, huku mgonjwa wa kwanza aliyethibitishwa akifariki kutokana ...Mwanariadha wa Uganda achomwa moto na mpenzi wake
Mwanariadha wa nchini Uganda, Rebecca Cheptegei (33) amelazwa katika hospitali moja nchini Kenya, baada ya kudaiwa kumwagiwa petroli na kuchomwa moto na ...Mganga wa kienyeji apatikana na mafuvu 24 ya binadamu nchini Uganda
Mwanaume mmoja nchini Uganda anayetambulika kwa jina la Ddamulira Godfrey anashikiliwa na polisi baada ya kupatikana na mafuvu 24 ya vichwa vya ...Marekani yamwekea vikwazo Spika wa Bunge la Uganda na mumewe
Marekani imewawekea vikwazo maafisa watano wa Uganda, akiwemo Spika wa Bunge la nchi hiyo, Anita Among, mumewe na Naibu Mkuu wa zamani ...Wafanyabiashara wa mafuta Kenya hali tete baada ya Uganda kuichagua Bandari ya Tanga
Wafanyabiashara wa mafuta nchini Kenya wako katika hali mbaya baada ya Uganda kusisitiza msimamo wake wa kuanza mazungumzo na Tanzania ili kuagiza ...Ugonjwa usiojulikana waua 12 Uganda
Wataalamu wa afya nchini Uganda wanachunguza mlipuko wa ugonjwa usiojulikana ambao umeua takribani watu 12 katika kipindi cha wiki mbili zilizopita katika ...