Tag: Uganda
Uganda: Wanandoa wa Marekani wakamatwa kwa kumtesa mtoto wa kuasili
Mamlaka nchini Uganda imewashitaki wanandoa wawili wenye asili ya Marekani kwa kosa la kumtesa mtoto wao waliomuasili (adopt), mwenye umri wa miaka ...Mawaziri Uganda kuanza masomo ya lazima ya lugha ya Kiswahili
Baraza la Mawaziri nchini Uganda linatarajia kuanza masomo ya lazima ya lugha ya Kiswahili kuanzia wiki ijayo ili kuimarisha uwezo wao katika ...Rais Museveni aungwa mkono kugombea urais mwaka 2026
Makamu wa Rais, Maj Jessica Alupo, Waziri wa Mambo ya Ndani Meja Jenerali Kahinda Otafiire, na Waziri wa Ulinzi Vincent Sempijja ni ...Mtanzania afariki kwa Ebola nchini Uganda
Daktari ambaye ni raia wa Tanzania (37) aliyekuwa akisomea Shahada ya Uzamili ya Udaktari kwenye Upasuaji katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha ...Serikali yatoa tahadhari ugonjwa wa Ebola
Wizara ya Afya imewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Ebola ikiwa ni pamoja na kunawa mikono kwa maji safi na ...








