Tag: wafariki
Wahamiaji 40 wafariki baada ya boti kuwaka moto
Wahamiaji takriban 40 wamefariki baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoka Cap-Haitien kwenda Visiwa vya Turks na Caicos kuungua moto katika Pwani ya ...Mashabiki wanne wa Namungo wafariki wakiifuata Yanga
Mashabiki wanne wa Namungo FC wamefariki kwenye ajali eneo la Miteja karibu na Somanga wilayani Kilwa mkoani Lindi wakati wakisafiri kutoka Ruangwa ...Mapacha wafariki baada ya nyumba kuteketea Iringa
Mapacha wa mwaka mmoja wamefariki baada ya nyumba yao kuteketea kwa moto katika Kijiji cha Magulilwa wilayani Iringa. Kamanda wa Polisi Mkoa ...Mwanza: Watu sita wafariki kwa kugongwa na gari wakifanya mazoezi
Watu sita wamefariki papo hapo na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Hilux namba T476 DZL wakati ...Watu sita wafariki kutokana na virusi vya Marburg mkoani Kagera
Serikali imesema hadi sasa, jumla ya watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Marburg ni tisa ambapo kati ya hao watatu wamepona akiwemo ...Watu saba wafariki ajalini Geita
Watu saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 10 wamejeruhiwa katika ajali ya basi la abiria kampuni ya Sheraton lenye namba za ...