Tag: wafariki
Mapacha wafariki baada ya nyumba kuteketea Iringa
Mapacha wa mwaka mmoja wamefariki baada ya nyumba yao kuteketea kwa moto katika Kijiji cha Magulilwa wilayani Iringa. Kamanda wa Polisi Mkoa ...Mwanza: Watu sita wafariki kwa kugongwa na gari wakifanya mazoezi
Watu sita wamefariki papo hapo na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Hilux namba T476 DZL wakati ...Watu sita wafariki kutokana na virusi vya Marburg mkoani Kagera
Serikali imesema hadi sasa, jumla ya watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Marburg ni tisa ambapo kati ya hao watatu wamepona akiwemo ...Watu saba wafariki ajalini Geita
Watu saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 10 wamejeruhiwa katika ajali ya basi la abiria kampuni ya Sheraton lenye namba za ...Watu 12 wamefariki katika ajali Dodoma
Watu 12 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 50 wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria la kampuni ya Frester ...Watu 17 wafariki ajalini Tanga wakisafirisha maiti
Watu 17 wamefariki dunia na wengine 12 wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea eneo la Magira Gereza wilayani Korogwe mkoani Tanga majira ...