Tag: wafungwa
Wafungwa kuanza kupewa ujuzi na vyeti vya VETA gerezani
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innnocent Bashungwa ameliagiza Jeshi la Magereza kusimamia kikamilifu mpango wa kuwapa ujuzi na mafunzo ya ...Tanzania na Somalia zasaini mkataba kubadilishana wafungwa
Serikali ya Tanzania na Jamhuri ya Shirikisho la Somalia zimesaini mikataba miwili ya makubaliano ya kushirikiana na katika masuala ya Ulinzi na ...Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 1548
Katika kuadhimisha Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 1548, ambapo wafungwa 22 kati ...Dkt. Mpango aagiza Magereza kuondoa matumizi ya ndoo kama choo kwa wafungwa
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na Jeshi la Magereza kuchukua hatua ...Mahakama Kenya yaamuru wafungwa kupewa haki ya kuzika wanafamilia wao
Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru wafungwa wote nchini humo kupewa haki kama binadamu wengine, ikiwemo haki ya kuhudhuria mazishi ya wanafamilia wao, ...Uwanja wa Mkapa wafungwa hadi Oktoba 2024, Serikali yaeleza sababu
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa na Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam mpaka pale ukarabati ...