Tag: wananchi
Kenya: Mgombea awatupia lawama wananchi kwa kumnyima kura baada ya kula hela zake
Mgombea aliyekuwa Mwakilishi katika Baraza la Kaunti (MCA) ya Meru, Festus Kithinji ambaye kura alizopata hazikutosha kumpa ushindi amegeuka gumzo baada ya ...Rais Samia: Msiwabughudhi wananchi mnapowaomba michango
Rais Samia Suluhu Hassan amewaonya viongozi wa Halmashauri ya Makete kuacha kuwabughudhi wananchi pindi watakapowafuata kuomba michango ya taa za barabarani bali ...Wananchi Moshi waiba mita za maji na kuziuza nje ya nchi
Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Abbas Kayanda, amewaonya baadhi ya wananchi wanaoiba mita za maji na kuziuza nchi jirani. Ameyasema hayo katika ...NIDA: Kitambulisho kikiisha muda unatakiwa kujaza fomu ya kuhuisha
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewatoa hofu Watanzania ambao vitambulisho vyao vinakwisha muda wa matumizi mwakani kuwa taarifa za utambulisho wao ...Wananchi Kenya wajitokeza kuuza figo
Hospitali Taifa nchini Kenya imesema kumekuwa na ongezeko la idadi ya watu wanaouliza na kujitolea kuuza figo zao. Katika chapisho la Facebook, ...Wanaohama Ngorongoro kwa hiari wamshukuru Rais Samia
Baadhi ya wakazi wa Ngorongoro mkoani Arusha ambao wameamua kuhama kwa hiari kwenye eneo la Hifadhi ya Ngorongoro wamemshukuru Rais Samia Suluhu ...








