Tag: watumishi
Watumishi wasiokwenda likizo wanaiibia Serikali
Ofisa Utumishi wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Fortunatus Mabula amewaonya watumishi kuacha tabia ya kutokwenda likizo kwani kwa kufanya hivyo ni ...RC Sendiga apiga marufuku watumishi kuhama mkoa wa Rukwa
Katika hatua ya kukabiliana na changamoto ya upungufu wa wafanyakazi mkoani Rukwa, Mkuu wa Mkoa, Queen Sendiga amepiga marufuku kwa watumishi hususani ...Watumishi wa afya walioonekana wakibishana wasimamishwa kazi
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Uyuwi, Dkt. Kija Maige amemsimamisha kazi Muuguzi Mkunga, Rose Shirima na Mtekenolojia wa Maabara, James Getogo wa ...Watumishi wanne wafukuzwa kazi kwa ubadhirifu wa fedha
Watumishi wanne katika Halmashauri ya Wilaya ya Makete wamefukuzwa kazi kwa ubadhirifu wa fedha za mapato ya ndani na mmoja akifukuzwa kwa ...Majina ya watumishi watano waliosimamishwa kazi wilayani Mbulu
Waziri TAMISEMI, Innocent Bashungwa amewasimamisha kazi maafisa watano Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara ili kupisha uchunguzi kwa kuisababishia halmashauri hasara ...Bashungwa awaonya watumishi wanaojihusisha na siasa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa ametoa onyo kali kwa wataalamu na watumishi ...