Tag: Waziri Mkuu
Waziri Mkuu: Hatutadharau maoni ya wananchi kuhusu bandari
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali haitodharau maoni na ushauri wanaoutoa kuhusu maeneo yenye hofu kwenye mradi wa uwekezaji wa ...SBL yakabidhiwa tuzo na Waziri Mkuu kwa uwekezaji kwenye miradi ya maji safi
Kutoa ufadhili kwa miradi ya maji kwa lengo la kuleta afueni katika maeneo yanayokabiliwa na uhaba wa maji nchini, imekuwa moja ya ...Waziri Mkuu: Rais Samia anataka kuona biashara zinafanywa kwa uhuru
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema lengo la Rais Samia Suluhu Hassan ni kuona kila mfanyabiashara nchini anafanya shughuli zake kwa uhuru na ...Waziri Mkuu aiagiza TRA kusitisha kikosi kazi cha kukusanya kodi Kariakoo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kusitisha mara moja utaratibu wa kikosi kazi (Task Force) kwenye makusanyo ya ...Waziri Mkuu: Tunazungumza na Denmark wasifunge ubalozi wao nchini
Serikali imesema kupitia Wizara ya Nje na viongozi wakuu, inafanya mazungumzo na nchi ya Denmark ili ofisi zao ziendelee kubaki nchini Tanzania ...Kiama kwa Askari wanaoingiza mifugo hifadhini ili wawataifishe
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameielekeza Wizara ya Maliasili na Utalii kufanya ufuatiliaji wa malalamiko ya wananchi kuhusu tabia ya baadhi ya wahifadhi ...