Tag: Waziri
Shirika la Afya Duniani linachunguza ugonjwa ulioua watatu Lindi
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema majibu kamili ya ugonjwa ulioibuka mkoani Lindi yatapatikana, kwakuwa Tanzania ina uwezo wa kuchunguza magonjwa ambukizi ...Mwananchi ampiga waziri kofi kanisani
Mwanamume mmoja aliyetambulika kwa jina la Michael Okurut (39) anazuiliwa na polisi baada ya kukamatwa kwa madai ya kumpiga Waziri wa Ujenzi ...Mwigulu: Si kila mwenye miaka 18 atalipa kodi
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kodi haitotazwa kwa kila mtu mwenye umri wa miaka 18, bali atatozwa mtu ...Serikali kupunguza matumizi kwa watumishi wa Umma
Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba amesema lazima matumizi ya Serikali na matumizi ya watumishi wa umma yaakisi ugumu wa maisha ...CHADEMA: Uandaaji wa kanuni za mikutano ya hadhara ni uhuni
Kikao kilichojumuisha Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa, Baraza la vyama vya siasa pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu, cha kujadili ...Panya road wapewa siku 7
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni ametoa siku saba kwa Jeshi la Polisi kuhakikisha linawakamata vijana wa kundi linalojihusisha ...