Tag: wizi
Wafanyakazi wa Kenya Pipeline kwenda jela kwa wizi wa mafuta
Wafanyakazi wawili wa zamani wa Kampuni ya Kenya Pipeline (KPC) wamehukumiwa kulipa faini ya Ksh milioni 10 kila mmoja [TZS milioni 202.06] ...Padri kizimbani kwa tuhuma za wizi milioni 20
Padri Baltazar Sulle (63) ambaye ni Paroko wa Parokia ya Haydom, Kanisa Katoliki Jimbo la Mbulu Mkoa wa Manyara amepandishwa kizimbani katika ...Wakamatwa na vifaa vya wizi kutoka Bwawa la Nyerere
Jeshi la Polisi Mkoa wa kipolisi Rufiji linawashikilia watuhumiwa 65 kwa makosa mbalimbali wakiwepo wahalifu waliokamatwa na vifaa vya mradi wa umeme ...Kamanda aeleza mbinu zinazotumiwa na wanawake kuiba watoto Mwanza
Kutokana na matukio yaliyokithiri ya wizi wa watoto wadogo mkoani Mwanza, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Wilbroad Mutafungwa amefichua mbinu zinazotumiwa na ...Makonda na Lemutuz washtakiwa kwa tuhuma za kupora Range Rover
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na William Malecela maarufu Lemutuz wamefunguliwa kesi mahakamani kwa tuhuma za uporaji ...Wakamatwa kwa kulaghai na kuwaibia wanawake kwa kutumia madawa
Polisi mkoani Morogoro wanawashikilia watu wawili , Paulo Erick (48) maarufu Shayo na Dickson Mashamu (35) maarufu kwa jina la Tajiri Masu ...