Tag: yanga
Jeshi la Polisi latoa tahadhari kuelekea mchezo wa Simba na Yanga
Kuelekea katika mchezo wa Simba na Yanga Jumapili Aprili 16 mwaka huu katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, Jeshi ...Yanga yagoma, yamtaka Fei Toto aripoti kambini haraka
Klabu ya Yanga imesema imemwandikia barua mchezaji Feisal Salum ya kumtaka aripoti kambini haraka iwezekanavyo na kuendelea kuutumikia mkataba wake kama mchezaji ...Fei Toto apeleka TFF ombi kuvunja mkataba na Yanga
Mchezaji wa Klabu ya Yanga, Feisal Salum (Fei Toto) amefika katika ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) akiwa na ...Umri halisi wa wachezaji wote wa Simba na Yanga
Mjadala mkubwa uliibuka katika mitandao ya kijamii hivi karibuni baada ya mdau mmoja wa soka kusema wastani wa umri wa wachezaji wa ...Eng. Hersi: Feisal bado hajarudi kambini, anadanganywa
Rais wa Klabu ya Yanga, Eng. Hersi Said amesema mpaka sasa mchezaji wa klabu hiyo Feisal Salum hajaripoti kambini kuendelea na majukumu ...Rais Samia kununua kila goli la Simba na Yanga kwa TZS milioni 5
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kununua kila bao litakalofungwa na klabu za Simba na Yanga katika michezo yao ya kimataifa ya mwisho ...