
Haya ni baadhi ya majimbo ambayo washindi wa kura za maoni hawakuidhinishwa na Halmshauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) kuwa wagombea wa nafasi za Ubunge na Uwakilishi;
Moshi Mjini
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Priscus Tarimo
β Aliyeteuliwa na NEC: Ibrahim Mohamed Shayo
Kigoma Mjini
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Kirumbe Ngβenda
β Aliyeteuliwa na NEC: Clayton Revocatus Chiponda (Baba Revo)
Tanga Mjini
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Ummy Mwalimu
β Aliyeteuliwa na NEC: Kassimu Amari Mbaraka
Bukoba Mjini
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Johnston Mtasingwa
β Aliyeteuliwa na NEC: Johansen Mutabingwa
Tabora Mjini
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Shaaban Mrutu
β Aliyeteuliwa na NEC: Hawa Subira Mwaifunga
Nyamagana
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Stanslaus Mabula
β Aliyeteuliwa na NEC: John Nzilanyingi
Tarime Mjini
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Michael Kembaki
β Aliyeteuliwa na NEC: Esther Matiko
Bunda Mjini
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Robert Maboto
β Aliyeteuliwa na NEC: Esther Bulaya
Monduli
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Fred Lowassa
β Aliyeteuliwa na NEC: Isack Copriao
Mpanda Mjini
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Beda Katani
β Aliyeteuliwa na NEC: Haidar Hemed Sumury
Dodoma Mjini
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Samuel Malecela
β Aliyeteuliwa na NEC: Paschal Inyasa Chinyele
Igunga
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Nicholaus Ngassa
β Aliyeteuliwa na NEC: Henry C. Kabeho
Mufindi Kaskazini
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Luqman Merhab
β Aliyeteuliwa na NEC: Exaud Kigahe
Nyangβwale
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Hussein Kassu
β Aliyeteuliwa na NEC: Hallen Nassor Amar
Tunduru Kaskazini
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Abdukadir Issa
β Aliyeteuliwa na NEC: Sikudhani Yassin Chikambo
Sikonge
π³οΈ Mshindi kura za maoni: Munde Tambwe
β Aliyeteuliwa na NEC: Amosy William Maganga







