in , , ,

Pasipoti 10 za nchi za Afrika zenye nguvu zaidi

Katika mwaka wa 2023, maeneo mbalimbali duniani yamerekebisha sera zao za usafiri kwa sababu mbalimbali ambazo zimewezesha au kuzuia ufikiaji wa mipaka yao.

Sambamba na hilo, serikali nyingi duniani zinafuatilia kwa dhati mipango ya kuimarisha pasipoti zao kwa kutambua kwamba pasipoti siyo tu chombo cha kusafiria, bali ni ufunguo wa kuwawezesha kutumia fursa za kimataifa.

Mbali na kurahisisha usafiri, pasi ya kusafiria hufungua milango kwa fursa za kiuchumi, kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia, na kubadilishana utamaduni wa nchi mbalimbali.

Nchi 10 za Afrika zenye deni kubwa zaidi IMF

Hivyo basi, kuwekeza katika pasi ya kusafiria ni uwekezaji kwa maendeleo binafsi na kwa jamii zao, na kuchangia katika kujenga dunia yenye uhusiano wa karibu na inayojali tamaduni mbalimbali.

Hizi ni nchi 10 za Afrika zinazoongoza kuwa na pasi ya kusafiria zenye nguvu zaidi mwaka 2024:

  1. Seychelles
  2. Mauritius
  3. Afrika Kusini
  4. Botswana
  5. Lesotho
  6. Namibia
  7. Eswatini
  8. Kenya
  9. Malawi
  10. Tanzania

Burundi yafunga mipaka yake na Rwanda

Adaiwa kumuua mkewe kwa kumnyima tendo la ndoa